Ukweli ni kwamba hizo zote hazimilikiwi na Mhe. Lowassa.
Kwa maana hiyo chochote kinachoandikwa au kuchapishwa kwenye kurasa hizo
hazihusiani kwa namna yoyote na Mhe. Lowassa.
hazihusiani kwa namna yoyote na Mhe. Lowassa.
Hata hivyo Mhe. Lowassa anawashukuru wote wenye kumiliki account hizo bila ya ruhusa yake, kwani anaamini wamesukumwa na mapenzi yao kwake.
Imetolewa na:
Ofisi ya Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (MB)
Imetolewa na:
Ofisi ya Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (MB)