Biashara hiyo yenye kuingiza takribani Dola za Kimarekani bilioni 19 kwa mwaka, imeenea kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya pembe za ndovu nchini Vietnam na China.
Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amezungumza na Mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuhusu janga hilo linaloikumba nchi hiyo na namna Serikali inavyokabiliana nalo.
Bofya kifute cha pleya iliyopachikwa hapo chini kutizama video hiyo.