![]() |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiungana na viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu katika futari aliyowaandalia kulu jijini Dar es Salaam jioni ya Julai 16, 2014. (picha: Ikulu) |
![]() |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru viongozi kwa kuhudhuria |
![]() |
Sehemu ya waliohudhuria |
![]() |
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (aliyesimama kushoto), akitoa neno la shukurani baada ya futari |
![]() |
Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abdullah Yusuf bin Ali bin Yusuf ash-Shirazi Mnyasi (mwenye kipaza sauti) akiongoza dua. |