Wasailiwa wanashauriwa kuzingatia yafuatayo:
1. Kuja na vyeti halisi (original certificates) vya kuanzia kidato cha nne na vyeti vya Taaluma ambayo mtahiniwa aliomba.
2. Mtahiniwa atakaye shindwa kuja na vyeti Halisi atakuwa amejiondoa katika usaili.
3. “Transcript”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati za matokeo ya kidato cha nne na
sita HAVITAKUBALIWA.
4. Kila msailiwa aje na kitambulisho kinachomtambulisha.
5. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, usafiri na malazi.
6. Kila msailiwa azingatie tarehe na eneo alilopangiwa kufanya usaili.
7. Wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa maombi yao hayakufanikiwa.
Limetolewa na:
Kaimu Mkurugenzi Mkuu,
Shirika la Viwango Tanzania,
S.L.P. 9524,
DAR-ES-SALAAM
Tafadhali bofya linki ifuatayo kupata orodha ya walitwa kwenye usaili: