
Karibu katika mahojiano kati ya Kwanza Production na Liberatus Mwang'ombe, mgombea Urais wa Jumuiya ya Watanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia.
Uchaguzi unategemewa kufanyika Agosti 9, 2014.
Tafadhali bofya kitufe cha pleya iliyopachikwa hapo chini ili kusikiliza...
Shukurani: Mubelwa Bandio