[audio] Mama aeleza alivyoshuhudia mbwa wakimla mtoto Ibrahim

Marehemu Ibrahim enzi za uhai wake
Marehemu Ibrahim enzi za uhai wake
Audio iliyopachikwa hapo chini ni ya mahojiano baina ya BEST FM radio na wananchi wa wilaya ya Ludewa kuhusiana na mbwa ambao walimla mtoto Ibrahim Faraja Chipungahelo akiwa hai na kufariki dunia.

Mama mmoja anaelezea hali halisi ilivyokuwa aliposhuhudia mnyama huyo akimla marehemu/

Mwananchi mwingine anazugumzia kushangazwa na ujasiri wa mwenye mbwa kwa majibu yake ya kejeli kwa wafiwa.