Mafuta hayo yakitiririka katika mtaroni mithili ya maji. |
Na Father Kidevu blog - Bomba la mafuta linalotumika kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Dar es Salaam Tanzania hadi Nchini Zambia lijulikanalo kama TAZAMA limetobolewa na mafundi wa Kampuni ya Raddy Fiber Solutution Ltd ya jijini Dar es Salaam wakati wakichimba chini ya barabara kupitisha awamu ya pili ya kebo za mkongo wa Taifa wa Mawasiliano katika eneo la Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.
Picha zaidi...
Picha zaidi...