Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Ester achukua fomu kuwania uongozi CHADEMA

Published on Tuesday, August 26, 2014 
.
MBUNGE kupitia Viti Maalumu (Chadema) Ester Matiku amejitosa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) mkoa wa Mara na kuahidi kushughulikia matatizo ya Wanawake yanayowakabili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kisiasa.
.
Shommi Binda - ESTER MATIKU ACHUKUA FOMU KUWANIA UONGOZI NDANI YA CHADEMA
« next post « » next post » HOME
Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes