Hali halisi katika baadhi ya shule jijini Dar es Salaam



Wanafunzi 140 wa darasa la tatu wa Shule ya Msingi Tandale Magharibi wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, wakiwa wameketi chini wakiandika kazi waliyopewa na mwalimu wao.


Wanafunzi wa darasa la tatu wa Shule ya Msingi Tandale Magharibi wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, wakiandika kutoka ubaoni kazi waliyopewa na mwalimu wao.

Picha zote: Victor Berege