Hali halisi katika Shule ya Msingi Medeli

Wanafunzi wa shule ya msingi Medeli iliyopo kata ya Tambukaleli manispaa ya Dodoma wakiwa wamekaa kwenye mifuko ya salfeti iliyotandikwa chini kutokana na shule hiyo kukosa madawati tangu mwaka 2007 ilipojengwa.
 Hali halisi katiak Shule ya Msingi Medeli: Wanafunzi hukaa chini na matundu ya vyoo ni 6 kwa ajili ya wanafunzi 789.

Wanafunzi wa Shule ya msingi Medeli kata ya Tambukaleli wakicheza mpira uliotengenezwa na vitambaa kutokana na shule hiyo kukosa vifaa vya michezo kama ilivyo kwa shule nyingine hali inayochangia kwa kiasi kikubwa michezo kushuka shuleni hapo.


Picha zote: John Banda