Uchaguzi huo umefanyika mjini Shinyanga na wafuatao ndiyo washindi katika nafasi mbalimbali.
MWENYEKITI - Bwana Hassan Baruti, aliyechukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na bwana Nyangaki Shilungushela.
KATIBU - Mussa Ngasa, aliyechukua nafasi ya bi Siri Yasin
KATIBU MWENEZI - Kadala David
MWENYEKITI - Bwana Hassan Baruti, aliyechukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na bwana Nyangaki Shilungushela.
KATIBU - Mussa Ngasa, aliyechukua nafasi ya bi Siri Yasin
KATIBU MWENEZI - Kadala David
MWEKA HAZINA - Francis Kasiri
- BAVICHA
MWENYEKITI - Samson Mwagi
KATIBU - Zainabu Heri
KATIBU MWENEZI - Justine Mwasiga
MWEKA HAZINA - Majid Issa
- BAWACHA
MWENYEKITI - Zena Musa Gulam
KATIBU - Yunis Kisija
- WAZEE
KATIBU WAZEE - John Buhembo
MWENYEKITI WAZEE - Titus Jilungu
- WAJUMBE KAMATI TENDAJI
Wanawake - Joyce Haji na Sipora Masibuka
Wanaume - Valerian Balege na Anthony Peter
- MJUMBE MKUTANO WA TAIFA
Salaganda Halid Salaganda