![]() |
Mh. Edward Lowassa akimjulia hali Mgoli hospitalini, wote wako kamati namba 12. (picha: Fikra Pevu) |
Kwa mujibu wa FikraPevu akiwa kitandani hospitalini, Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao jana usiku majira ya saa moja eneo la area D anakoishi.
Amedai kuwa hukutana na vijana hao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini hiyo jana walimshambulia kwa kumuambia kuwa yeye ni CCM.