![]() |
Mwigulu Nchemba katika vazi la kichifu baada ya kutawazwa kuwa Chifu wa Wahehe alipofika kumtawaza Salim Asas kuwa Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Iringa. |

Baada ya kuingia Iringa Mjini, Nchemba akaamua kuingia mtaani kutembelea matawi ya Chama Cha Mapinduzi na kuzungumza na Wananchi. Hapa msafara wake ukiwa soko la mitumba Iringa Mjini.




Mwigulu akipewa mapokezi na chipukizi wa Chama cha Mapinduzi Iringa Mjini.











Nchemba akisisitiza umoja ndani ya Chama na Jumuiya zake.






Picha/Maelezo: Festo Sanga.