
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC

Rais Kikwete akimsalimia mmoja wa watoto waliokuwepo kumlaki

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC

Viongozi na wanachama wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC

Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Watanzania DMV

Rais Kikwete akilakiwa na wanajumuiya

Rais Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe, Balozi wa Tanzania Marekani Mhe Liberata Mulamula na Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora wakijadiliana jambo meza kuu

Sehemu ya wanajumuiya na wageni toka sehemu mbalimbali wakiwa katika mkutano huo

Washiriki wa mkutano huo

Wanajumuiya wakiwa wametulia mkutanoni

Wanajumuiya

Wanajumuiya toka kila kona ya DMV na sehemu mbalimbali za Marekani

Sehemu ya viongozi wa Jumuiya na wanajumuiya

Wote wametulia wakifuatilia kinachoendelea

Wanajumuiya

Wanajumuiya

Wanajumuiya

Sehemu ya nyomi ya wanajumuiya

Wanajumuiya pamoja na baadhi ya viongozi
























Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bw Charles Singili akiongea na kunadi bidhaa mpya ya Diaspora Banking ambayo benki hiyo imeanzisha




Mwanajumuiya akiomba ufafanuzi wa maswala kadhaa yanayowasibu

Wanajumuiya wakifurahia jambo

Swali toka kwa mwanajumuiya

Wanajumuiya wakisikilia kwa makini kinachoendelea

Mwanajumuiya akiuliza swali

Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akifafanua mambo kadhaa kuhusu Diaspora Banking

Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akiendelea kutoa ufafanuzi

Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akieleza faida za Diaspora Banking

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Julieth Kairuki akiongea

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki akifafanua jambo

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akiongea

Rais Kikwete akifafanua jambo. Kushoto ni Mama Salma Kikwete na kulia ni Balozi Mulamula

Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha Power Breakfast Gerald Hand akirekebisha mitambo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akifafanua jambo

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akimtambulisha Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa

Nyomi

Mawaziri na wabunge waliohudhuria

Sehemu ya waliohudhuria


Rais Kikwete akihuytubia wanajumuiya wa DMV

Hotuba ikiendelea

Shukurani: wavuti.com imeshirikishwa picha na maelezo na Michuzi & Vijimambo blogs