Picha za mkutano wa Rais Kikwete na Watanzania DMV



Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC



Rais Kikwete akimsalimia mmoja wa watoto waliokuwepo kumlaki





Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC



Viongozi na wanachama wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC



Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Watanzania DMV


Rais Kikwete akilakiwa na wanajumuiya



Rais Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe, Balozi wa Tanzania Marekani Mhe Liberata Mulamula na Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora wakijadiliana jambo meza kuu



Sehemu ya wanajumuiya na wageni toka sehemu mbalimbali wakiwa katika mkutano huo



Washiriki wa mkutano huo



Wanajumuiya wakiwa wametulia mkutanoni



Wanajumuiya



Wanajumuiya toka kila kona ya DMV na sehemu mbalimbali za Marekani



Sehemu ya viongozi wa Jumuiya na wanajumuiya




Wote wametulia wakifuatilia kinachoendelea




Wanajumuiya




Wanajumuiya




Wanajumuiya




Sehemu ya nyomi ya wanajumuiya




Wanajumuiya pamoja na baadhi ya viongozi























































Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bw Charles Singili akiongea na kunadi bidhaa mpya ya Diaspora Banking ambayo benki hiyo imeanzisha













Mwanajumuiya akiomba ufafanuzi wa maswala kadhaa yanayowasibu



Wanajumuiya wakifurahia jambo



Swali toka kwa mwanajumuiya



Wanajumuiya wakisikilia kwa makini kinachoendelea



Mwanajumuiya akiuliza swali




Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akifafanua mambo kadhaa kuhusu Diaspora Banking



Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akiendelea kutoa ufafanuzi



Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akieleza faida za Diaspora Banking



Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Julieth Kairuki akiongea




Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki akifafanua jambo




Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akiongea



Rais Kikwete akifafanua jambo. Kushoto ni Mama Salma Kikwete na kulia ni Balozi Mulamula



Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha Power Breakfast Gerald Hand akirekebisha mitambo



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akifafanua jambo



Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akimtambulisha Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa



Nyomi



Mawaziri na wabunge waliohudhuria



Sehemu ya waliohudhuria





Rais Kikwete akihuytubia wanajumuiya wa DMV



Hotuba ikiendelea


Shukurani: wavuti.com imeshirikishwa picha na maelezo na Michuzi & Vijimambo blogs