Tanzania 11 vs Real Madrid Legends

screen-shot iliyochukuliwa pnde tu goli la tatu lilipofungwa. (picha: wavuti.com) Ilionekana kupitia: tanzaniabox.com

Beki wa timu ya Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa akichuana na mshambuliaji wa Real Madriad Legends, Luis Figo wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Picha hi na inazofuatia hapo chini ni kutoka kwa F. Dande


Kiungo wa timu ya Real Madrid Legends, Christian Karembeu akimwonesha Rais Jakaya Kikwete picha ya kumbukumbu aliyopiga kwa kutumia iPad tablet yake.
Kiungo wa timu ya Real Madrid Legends, Christian Karembeu akichukua picha ya kumbukumbu na Rais Jakaya Kikwete.

.
Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania 11 wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania 11 wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

.



 Benchi la ufuti la Tanzania 11

 Luis Figo akisalimiana na wachezaji wa Tanzania 11.

 Peter Manyika akisalimiana na Luis Figo.

 Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Tanzania 11


 Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Real Madrid Legends.

 Luis Figo (kushoto), akiruka juu kupiga mpira wa kichwa.

 Hekaheka langoni mwa Tanzania.

 Mohamed Mwameja akiwa ameshika kiuno baada ya kufungwa goli la kwanza.


 Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na kocha Msaidizi wa Tanzania 11, Jamhuri Kiwhelo 'Julio' mara baada ya mchezo.

Mfungaji wa mabao ya timu ya Real Madrid, Reuben akipokea mpira baada ya kupiga 'hat trick' katika mchezo huo.

Beki wa timu ya Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa akichuana na mshambuliaji wa Real Madriad Legends, Luis Figo wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania 11 wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.