Uaumuzi wa Kamati ya TCRA dhidi ya Clouds FM Radio

Wawakilishi kutoka Clouds Entertainment FM Radio wakiwa kwenye mkuatno huo. (picha: jamii.com | simu namba 0712-727062)

SHAURI LA UKIUKAJI WA KANUNI ZA UTANGAZAJI NAMBA 4/2014 DHIDI YA CLOUDS ENTERTAINMENT FM RADIO


Tarehe 15/06/2014, kituo cha Clouds Entertainment FM Radio cha Dar es Salaam kilikiuka Kanuni za Utangazaji (Maudhui) za mwaka 2005, kupitia kipindi chake cha Njia Panda kilichorushwa hewani kati ya saa 8.00 mchana na saa 10.00 jioni. Kipindi hiki kilikuwa na mada iliyohusu Safari ya Kuzimu. Maudhui ya kipindi hiki yalijaa simulizi za kufikirika, za kishirikina na kichawi.

Bofya hapa kupakua na kusoma shauri hilo.