Vodacom yawezesha vilivyo robo fainali ya Dance 100 Chang'ombe

Mmoja wa washiriki wanaounda kikundi cha Street Dance cha Mbagala jijini Dar es Salaam, akionyesha umahiri wake wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.


Kikundi cha   Street Dance cha Mbagara jijini  Dar es salaam, wakionyesha umahiri  wao wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Kikundi cha   Street Dance cha Mbagara jijini  Dar es salaam, wakionyesha umahiri  wao wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Wachezaji wa kundi la Manuary  kutoka Majohe Pugu jijini Dar es salaam, wakicheza wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Vijana wanaounda Kikundi cha G.O.P cha Keko   jijini Dar es salaam, wakitoa burudani kali  wakati wa shindano la robo fainali la  Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Vijana wanaounda Kikundi cha G.O.P cha Keko   jijini Dar es salaam, wakitoa burudani kali  wakati wa shindano la robo fainali la  Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

ijana wanaounda Kundi la Young Dance la Temeke Mikoroshoni jijini Dar es Salaam wakitoa burudani  wakati war obo fainali ya shindano la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5

ijana wanaounda Kundi la Young Dance la Temeke Mikoroshoni jijini Dar es Salaam wakitoa burudani  wakati war obo fainali ya shindano la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5

Kikundi cha Wazawa kutoka Mbagala jijini  wakitoa burudani   wakati wa robo fainali ya shindano la Dance 100 liliodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Kikundi cha Wazawa kutoka Mbagala jijini  wakitoa burudani   wakati wa robo fainali ya shindano la Dance 100 liliodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi  15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Kikuindi cha Swaga Don cha Temeke  jijini Dar es Salaam wakifanya mambo yao  wakati wa robo fainali ya shindano la Dance 100 liliodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Kikuindi cha Butterfly cha  Temeke  jijini Dar es Salaam wakifanya vitu vyao  wakati wa robo fainali ya shindano la Dance 100 liliodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika  katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe  hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo  ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.