![]() |
Kei Nishikori (photo: Julian Finney/Getty Image) |
Nishikori amekuwa raia wa kwanza kutoka barani Asia kufikia nusu fainali za mashindano ya mchezo huo.
Bingwa huyo wa French Open 1989 anatarajiwa kuambana na Marin Cilic wa Croatia ambaye naye alimshinda bingwa mwingine wa dunia Roger Federer katika nusu fainali nyingine.
Fainali hizo zitashindaniwa sikuya Jumatatu.
Nishikori alimshinda Djokovic kwa seti 6-4 1-6 7-6(4) 6-3.
Hata hiyo, hii ni mara ya pili kwa Nishikori kumshinda Djokovic baada ya kufanikiwa kufanya hivyo mwaka 2011. Wawili hao walishapambana mara tatu.