Safu ya uongozi mpya CHADEMA Tanga

Katika uchaguzi uliyofanyika juzi kwenye ukumbi wa Maktaba ya Mkoa, mkoani Tanga, CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Tanga kimewachagua viongozi wake kama ifuatavyo:-
  1. Tesol Peter - Mwenyekiti
  2. Rogers Robert - Katibu
  3. Marcus Thobias - Mwenezi
  4. Haule Dismas - Mweka Hazina

Uchaguzi huo ulisimamiwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa, Jonathan Bawje