IMEKANUSHWA! Taarifa rasmi ya CUF: Wabunge wote wa Tanzania wamejiuzulu

wavuti. imepata updates kutoka kwenye ukurasa wa Ismail Jussa ifuatavyo....



wavuti.com imepokea ujumbe ufuatao...

Ndugu zangu, salaam za heri nyingi kutoka Unguja,

Tafadhali pokeeni tamko la pamoja la uamuzi wa CUF pamoja na wabunge wake nchi nzima tulilolitowa leo Machi 18, 2016 baada ya kikao chetu hapa mjini Zanzibar. Inshallah tusaidiane kuujulisha umma juu ya hili na dhulma nyingine ambazo mwaziona zikiendelea.

Wasalaam,

Ahmed Nassor Mazrui
Naibu Katibu Mkuu (CUF), Zanzibar

"HAKI SAWA KWA WOTE"