Boma la 116 la Mjerumani mjini Iringa... Published on Friday, June 24, 2016 Makumbusho ya Mkoa wa Iringa inavyoonekana kwa nje baada ya mradi wa Kuendeleza Utamaduni Nyanda za Juu Kusini (Fahari Yetu) kulifanyia ukarabati jengo hilo lililokuwa boma la mjerumani miaka 116 iliyopita (Picha na Frank Leonard)