Katika sherehe yake ya kuzaliwa, Profesa amefanya yafuatayo:
- Amewakaribisha Madaktari Mabingwa kutoka China kutoa matibabu na dawa bure kwa wanavijiji kwa siku mbili.
- Amegawa zaidi ya vitabu 22,000 kutoka Marekani (thamani: US $ 250,000), sawa na TSh 500 milioni, kwenye shule za msingi 108 na sekondari 20.
- Kupata birthday lunch ya ugali na sato kijijini Kigera.
- Kesho atagawa madawati 1,812.
Mungu amuongezee miaka mingi ili awatumikie wananchi na kuinua maisha ya wanyonge wa nchi yetu.