Kuhusu iwapo kufukuzwa kwake kuna uhusiano na sakata la Lugumi au la, Kitwanga alitumia majibu aliyedai kuwa ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa waandishi jijini Nairobi (Kenya); "Hivi mtu akikuuliza -- mimi ni mume wa mama yako -- utakubali? Basi, hilo ndilo jibu na Watanzania wote wasiniulize tena," alisema Kitwanga
Kauli ya Kitwanga kwa Watanzania kuhusu mkataba, uhusiano wa Dell, Infosys, Lugumi
Kuhusu iwapo kufukuzwa kwake kuna uhusiano na sakata la Lugumi au la, Kitwanga alitumia majibu aliyedai kuwa ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa waandishi jijini Nairobi (Kenya); "Hivi mtu akikuuliza -- mimi ni mume wa mama yako -- utakubali? Basi, hilo ndilo jibu na Watanzania wote wasiniulize tena," alisema Kitwanga