Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Kauli ya Kitwanga kwa Watanzania kuhusu mkataba, uhusiano wa Dell, Infosys, Lugumi

Published on Thursday, July 07, 2016 

Kuhusu iwapo kufukuzwa kwake kuna uhusiano na sakata la Lugumi au la, Kitwanga alitumia majibu aliyedai kuwa ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa waandishi jijini Nairobi (Kenya); "Hivi mtu akikuuliza -- mimi ni  mume wa mama yako -- utakubali? Basi, hilo ndilo jibu na Watanzania wote wasiniulize tena," alisema Kitwanga
« next post « » next post » HOME
Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes