Mkuu wa Wilaya akielekea eneo lenye nyumba hizo |
Picha zote: Shommi B blog
Sehemu ya nyumba zilizovunjwa
Nyingine zilikuwa karibu kabisa na eneo la machimbo
Maagizo ya uvunjanji yanatolewa
Meneja uendelezaji idara ya ardhi wa mgodi wa Acacia North Mara,Abel Yiga, akimuonesha orodha ya majina ya wananchi walioandaliwa malipo na kuiomba serikali kusaidia kuona wananchi hao hawatumii fedha hizo kwenda kujenga nyumba nyingine maeneo ya mgodi maarufu kwa jina la "tegesha"ili kuepuka migogoro.
Majina yakisomwa
Wananchi wakisikiliza majina ya walipwaji
Kazi inaendelea
Kazi inaendelea