Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Watoto wa Kojani wakiyamudu mazingira ya uvuvi

Published on Saturday, July 02, 2016 
Watoto wa kike wa kisiwa cha Kojani wilaya ya Wete Pemba, hutajwa kuanza kuyazoea mazingira wanayoishi mapema, kwa kuanza kujifundisha kupiga makasia na pondo, kwenye mitumbwi kama walivyokutwa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

Picha via ZanziNews blog
« next post « » next post » HOME

Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes