Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Waziri Tizeba asimamisha kazi watendaji 6 Wizara ya Kilimo na kumvua 1 madaraka, kumhamisha

Published on Thursday, July 14, 2016 

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba amemsimasha kazi Mtendaji Mkuu wa wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula Bw. Charles Walwa na watendaji wengine watano ili kupisha uchunguzi kufuatia kuwepo kwa tuhuma za kuhujumu Hifadhi ya Taifa ya chakula.
« next post « » next post » HOME

Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes