Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Mahojiano na Hilal Hemed Hilal kutoka viwanja vya Olimpiki, Rio, Brazil

Published on Tuesday, August 16, 2016 
picha: MissiePopular.com
Katika kipindi cha JUKWAA LANGU (Jumatatu Agosti 15 2016) Mubelwa Bandio alifanya mahojiano ya moja kwa moja na Hilal Hemed Hilal. Nahodha wa Tanzania katika mchezo wa kuogelea kwenye mashindano ya Olimpiki huko Rio de Janeiro nchini Brazil.

Alikuwa mkarimu kujiunga nasi kwa njia ya Skype sambamba na kocha wake Alexander Mwaipasi

Karibu uungane nasi.

« next post « » next post » HOME

Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes