Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Majadiliano ya kuhusu rasimu ya katiba inayopendekezwa kuunda TzUK Diaspora

Published on Saturday, August 27, 2016 

Kwenye video zilizopachikwa hapa ni Abraham Sangiwa - Katibu Mkuu - Kamati ya Mpito - TANZUK inayoandaa utaratibu rafiki wa kuunda Jumuiya Shirikishi katika Kipindi Cha Majadiliano kuhusu Diaspora UK na Rasimu pendekezwa SEHEMU YA KWANZA, itakayoshirikisha kila Mwanadiaspora maeneo yote hapa nchini Uingereza - KARIBU.




« next post « » next post » HOME

Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes