Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Idara ya Mahakama yawafuta kazi maafisa wa mahakama 34 ijapokuwa walishinda kesi

Published on Wednesday, September 07, 2016 

Jaji mkuu Mheshimiwa Othman Chande amesema idara ya mahakama imewafuta kazi mahakimu na mafisa wa mahakama 34 kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo matumizi ya vifaa vya mahakama kwa manufaa binafsi, ukiukwaji wa sheria na maadili yanayoongoza shughuli za utoaji wa haki mahakamani.
« next post « » next post » HOME

Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes