Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Madaktari wazindua tovuti mpya ya masual ya afya - JamiiHealthTz

Published on Monday, September 05, 2016 

Tovuti hii imeanzishwa kwa nia ya kuelimisha jamii kuhusu mambo yote yahusuyo afya.

Waanzilishi wa tovuti hii ambao ndiyo watoa mada na wanaojibu maswali ya wasomaji kwenye "LIVE discussion" ni Dk Fredirick Mashili, Dk Deo na Dk Franscis.

Tovuti inatarajiwa pia kuwa na "health directory".

Itembelee kupitia: www.jamiihealthtz.com
« next post « » next post » HOME

Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes