![]() |
Gari la Naibu Waziri - TAMISEMI likionekana baada ya kugongwa katika ajali hiyo. |
Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya, Mariam Mtunguja amesema gari la NW lilikuwa na watu watatu ndani ambao ni NW Jafo, Katibu wa NW na dereva ambao wote walitoka bila kuonekana na majeraha katila ajali hiyo na kupelekwa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya ambapo walifanya uchunguzi wa ndani ya miili kabla ya kupewa ruhusa kuondoka, na daktari aliyewachunguza.
NW Jafo aliendelea na safari yake kuelekea mjini Dodoma ili kuwahi vikao vya Bunge
![]() |
Gari lililigonga gari la Naibu Waziri likiwa limetupwa korongoni. |
![]() |
Askari wa usalama barabaran wilaya Rungwe, Mbeya wakipima ajali ilivyotokea. |
- via Mbeya yetu