Urembo wa "kumaliza darasa la saba" Published on Saturday, September 17, 2016 Wahitimu wa darasa la saba wakisoma risala kwa mgeni rasmi wa maafali ya 48 ya Shule ya Msingi Litisha wameiomba Serikali kuwasaidia upatikanaji wa maji shuleni hapo ili waepukane na adha ya kutafuta maji umbali mrefu.