Skip to content
wavuti
  • Home
  • Archive
  • Links
  • About

Stori na Nyama Episode 2: Wadau Wanapojadili Nani Mkali wa HipHop Tanzania

Published on Thursday, November 03, 2016 
Ni utamaduni uliojengeka kwa marafiki walioshibana kukutana mara moja moja kupiga stori huku wakiburudika na muziki au vinywaji, na mara zote kuna mada ambazo hujadiliwa kila mmoja akitoa maoni yake.

Kinachovutia kwa kundi hili la marafiki ni namna wanavyouelezea kiufasaha muziki wa nyumbani hasa ule wa HiHop. Tazama video hii.



« next post « » next post » HOME

Copyright © wavuti | Design by wpmagg | Theme by newbloggerthemes