Balozi mdogo wa Japani nchini Tanzania ambaye pia ni mtaalamu wa maswala ya uchumi, Yoshiyasu Mizuno ametembelea mvumbuzi wa jenereta la kutumia hewa kufua umeme. Katika picha zifuatazo, balozi huyo anaonekana akiwa na mvumbuzi mwenyewe pamoja na wataalamu wengine kutoka Tanzania Industrial Research Development (TIRDO) eneo la Msasani ambapo ndipo lilipo jenereta hilo. Picha kwa hisani ya blogu ya John Bukuku ya Full Shangwe. Wakamatwa wakiigiza madawa ya kulevya nchini 03/13/2010
![]() Wakazi watatu wa mkoaniTanga, wawili wa Dar Es Salaam na raia mmoja wa nchini Iran wamekamatwa na madawa ya kulevya waliyokuwa wakiyaingiza nchini. Bofya hapa ili kutizama kipande hicho cha habari kadiri kilivyorekodiwa na kuwekwa mtandaoni na Kennedy Kimaro wa blogu ya kennedytz.blogspot.com. Tunatumai kwamba zoezi la kupambana na uingizaji wa madawa ya kulevya nchini Tanzania litaendelea kupewa kipaumbele kwani matumizi ya dawa za kulevya yamechangia kwa kiwango kikubwa sana kupumbaza vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa na kusababisha utegemezi mkubwa, jambo linalochangia kukua kwa kiwango cha umasikini miongoni mwa wananchi. Jikinge na staili hii mpya ya wizi 03/13/2010
Kuna hili tukio la ukwapuaji wa kutumia gari ambao umekuwa ukishamiri sana hapa jijini kwa sasa,hivyo naomba uweke hapo mtaani kwetu ili wadau waweze kuwa makini na tukio kama hili. Kuna tukio limetokea hapa Sinza maeneo ya Mapambano njia ya nyuma kama unaenda Mwenge kwenye miti mirefu bar moja inaitwa kwa jimmy . Kuna vijana 2 walikuwa wanatembea njiani mmoja kabeba begi lake la vitabu ghafla gari ndogo ikampitia kwa pembeni mtu aliyekwepo ndani ya gari akakwapua begi la yule kijana ambapo kulikuwa na simu na karatasi zake . Huyo kijana alipiga kelele kidogo nilikuwa mbele yao nikajua labda ni tatizo lengine kumbe wenyewe wameibiwa bei lao kwahiyo ile saloon car nyeupe ikakimbia moja kwa moja Kijana aliyeibiwa anaitwa Erick Thomas Jongela simu yake anasema ilikuwa na line 2 moja ni 0715 241204 na 0756 816 770 hizi line zilikuwa kwenye simu hiyo iliyokwepo kwenye begi lililoibiwa Mwenzake mwenye simu anaitwa Fadhili no yake ni 0713 76 59 05 Kwa mtindo huu jamani muwe makini mnavyotembea na mabegi yenu pamoja na mali zingine zisivutie sana wahalifu hawa . Nimetoa kisa Hichi kama tukio la kweli lililomkuta mtu naamini tigo pamoja na voda kwa kushirikiana na vyombo vya dola vitaweza kufuatilia simu ya kijana huyo na kuweza kupata taarifa zingine zinazohusiana na simu hiyo toka ilipozimwa mara ya mwisho. Habari kwa mujibu wa blogu ya Othman Michuzi Tafakari kwa njia ya picha... Tarime! 03/13/2010
Yule jamaa aliyenenepesha nyeti zake hadi kufikia zaidi ya kg10, Gasper Honza tayari amenza kupatiwa matibabu Nchini India, blogu ya Sufianimafoto inaandika. Jopo la madaktari wa hospitali hiyo (jina kapuni mwa Sufianimafoto) tayari wameanza kufanya uchunguzi wa awali kwa kuchukua kipande cha nyama (biopsy) kutoka kwenye nyeti zake ili kubaini kemikali zilizokuwamo kwenye dawa aliyotumia. Akizungumza na Sufianimafoto kwa njia ya simu jana kuhusiana na matibabu hayo, Gasper alisema tayari jopo hilo limempa dawa ya kupaka aina ya Hip absorb kwa ajili ya kupunguza uvimbe alionao kabla ya kumfanyia upasuaji katika nyeti yake. “Kwa kweli tangu nimeanza kutumia dawa hii ninaona uvimbe unapungua japo napata haja ndogo chafu pamoja na maumivu makali, sina wasiwasi kwasababu nataka kupona hata hivyo daktaria wangu ameniambia nitapoteza nguvu za kiume jambo ambalo naona ni kawaida maadamu niutue mzigo huu,” alisema. Kwa mujibu wa Dk. Hich Yagien wa India, Honza atapoteza uwezo wa nguvu za kiume baada ya upasuaji huo kutokana na uvimbe huo mkubwa kukaa kwa muda mrefu. “Honza alifanya tofauti sana kwani dawa aliyotumia kwani dawa hiyo ni kwa ajili ya kukuza makalio ambayo zaidi hutumiwa na baadhi ya wanawake ingawa wengine waliotumia wameathirika na saratani na baadhi wamepoteza maisha baada ya upasuaji kutokana na kutokwa na damu nyingi. alisema daktari huyo. Dawa hiyo ina nguvu sana na kwa mujibu wa maelezo ya dawa yenyewe mtu anatakiwa atumie mara mbili kwa wiki, lakini mtu anapoitumia bila kufuata masharti matokeo yake ni kama hayo ya kuvimba nyeti ama makalio bila mpngilio. ” alisema Dk. Yagien. Alisema Honza atafanyiwa upasuaji mara baada ya vipimo kukamilika mwishoni mwa wiki hii. Aidha alisema kuwa Honza si mgonjwa wa kwanza kukutana naye kwani ameshakutana na wagonjwa wa aina hiyo wengi tu ambao ameshawatibia kwa kuwafanyika upasuaji huku wengine wakifikishwa hospitalini hapo wakiwa wameoza. Honza ambaye ni Mkazi wa Mbezi Beach Dar es Salaam, anatarajia kufanyiwa upasuaji huo wiki ijayo baada ya kutumia dawa ya kukuza makalio aina hypson akiwa na nia ya kukuza Nyeti ili kuinusuru ndoa yake Septemba mwaka jana. ![]() Pata burudani hiyo kwenye ukurasa wa Audio (bofya hapa). Nyimbo hizo zilizopo kwenye kaseti ya 'UKUMBUSHO' utunzi wake hayati Hemedi Maneti akiwa na Vijana Jazz Band ni: SIDE A 1. Jiko limenuna 2. Najilaumu 3. Nilitaka iwe siri SIDE B 1. Unikubalie 2. Ndoa ni kuvumiliana 3. Madaraka kwenye bar Shukrani ya nyimbo: John B. mwenye blogu ya Likembe. NAKONDE border in Northern Province was yesterday temporarily closed following a riot by irate Tanzanian traders that left three vehicles damaged. The riot started at about 10:30 hours and by 12:00 hours both the Zambian and Tanzanian customs gates remained closed. An eye witness at the border said the riot was started by Tanzanian nationals who sell various merchandise on top of the Tanzania Zambia Railways (TAZARA) tunnel on the Zambian side after police confiscated their goods. Police had been trying to prevent people from trading on top of the tunnel. The irate traders started throwing stones and all sorts of missiles at the combined team of council and state police as workers at the clearing agencies near the area scampered for safety. Three new vehicles were damaged in the process before a reinforcement of police officers arrived on the scene. Heavily armed police officers have since been deployed to keep vigil at the scene. Nakonde district commissioner Billy Silwimba said the closure of the border was temporary. Silwimba said normal business was expected to resume anytime soon and that the confusion had been addressed. Silwimba, who described the riotous behaviour of the Tanzanian nationals as unfortunate, said importers and the local people should not panic as the situation was now under control. Source: www.postzambia.com ![]() Some of you have been looking for ways to save email addresses and contacts of your Facebook friends, however, there is no official way from facebook management on how to do that, but you can do a work around if you have a Yahoo or YMail address. Here is how you do it:
Tafakari kwa njia ya picha... Elimu! 03/12/2010
Nukuu ya leo toka kwa Mtanzania 03/12/2010
"WHO's new recommendations are excellent in theory, but they did not give us a practical way of implementing the guidelines - already we have shortages of drugs in trying to put people with CD4s below 200 on treatment," said James Kamau, coordinator of the Kenya Treatment Access movement. Africa Africa, when will you start to have priorities? You have money for political campaigns, money for elections, money for wars, money for military coups... but when it comes to your people, you start crying... you shout for international funding. You forget that the money comes after Subi and Dewo, Iverson, Liu Cheng, Albulmarik, Lee, Stephanie et al, have been squeezed to the last coin... Please Africa use your brain to think not your spinal cord! "Avoiding this will depend on the willingness of donors to make new commitments. Although this is not easy in today's financial environment, donor countries cannot back away from supporting the promise of universal access to treatment made five years ago." Africa, the dying are your people. Their well-being is your responsibility. The donors have other important things to do, mama wewe bado umekaa unawategemea tu??!! Let me ask you my mama, how much of your budget from your own resources goes to HIV/AIDS? Hakuna. ...but how much do you spend for corruption, wars, unnecessary trips of your leaders, military coups? A lot. One more before I let you go, how much of the funded money goes into the pockets of your corrupt, irresponsible leaders and health care authorities? How much of the funded monies is used for medications? Very little... but how much is used for the Shangingis? A lot. Ah Africa!! I have never heard an ARV by the name of Land Cruiser. Sasa unalia nini Africa? Afrika umejilaani mwenyewe, hujalaaniwa na mtu wala Mungu. Africa achana na ujinga wa utegemezi, una kila kitu umekikalia tu unalilia donors. Amka! Ingawa najua kamwe hautaamka. Unaniboa Afrika. Monsignor in China. (reacting to www.irinnews.org) |