Mwenye njaa jama usin'letee kesi! Shauri zako umetaka mwenyewe kujidondoshea udenda! haya sasa ukapike! Kwa video nyingine zaidi za mapishi moto moto kama vile bajia, halwa, mboga za majani, wali-mbuzi, maini-vitunguu, pasta, n.k, basi tizama video za SomaliFoodBlog (Youtube). Add Comment Prof. Mbele anasema, Mwaka 2002 nilisajili kampuni katika jimbo la Minnesota ambayo niliita Africonexion. Nilichagua aina ya usajili iitwayo "sole proprietorship" yaani mmiliki na mhusika mkuu ni mimi. Nilianzisha Africonexion kama chombo cha kushughulikia elimu kuhusu tamaduni duniani, kwa kuandika, kuchapisha, na kuuza vitabu, na kutoa mihadhara na ushauri kwa watu binafsi, mashirika, taasisi, makampuni, na kadhalika, kama ninavyoripoti katika blogu zangu. Africonexion ni kampuni ndogo sana kwa wakati huu, kwa maana kwamba sina timu ya wafanyakazi au washiriki. Lakini nimeitumia vizuri kama fursa ya kujielimisha, kwa kuzingatia kuwa elimu ni mtaji bora kuliko hata fedha. Shughuli zote ninazofanya, iwe ni kuandika au kutoa mihadhara au ushauri kwa watu binafsi, ni kama shule kwangu. Nimejifunza mengi sana, na bado najifunza. Maelezo na picha vimenukuliwa kutoka kwenye blogu ya Profesa Mbele. Unaweza kupata maelezo zaidi ya kampuni hii kwenye tovuti ya africonexion.com au kwenye blogu yake ya hapakwetu.blogspot.com au wasiliana naye kupitia barua pepe: info@africonexion.com Picha na maelezo kutoka kwenye blogu ya blogu ya Nyakasagani Alex is a 9-year-old boy from Tanzania and a big fan of Arnold Schwarzenegger: In the video below, which was produced by Africa-focused NGO Mama Hope in collaboration with Whirled, he recaps Arnold Schwarzenegger’s Commando, in under three minutes with his narration helpfully intercut with footage from the movie. Alex is NOT a child soldier, an AIDS victim or an orphan. Alex is bright, charming, curious, happy, hopeful, athletic, creative, bi-lingual, imaginative, resourceful… just a nine year old boy. This is the first clip in a series of video's for Mama Hope's Stop the Pity. Unlock the Potential campaign. It was created by Joe Sabia http://www.joesabia.co. To learn more about our campaign and see other amazing video's visit www.mamahope.org/Unlock-the-potential-.html Maendeleo katika teknolojia ya usafiri. Ujumbe toka kwa rafiki unasomeka hapo. Maelezo zaidi: resilienttech.com Amazing new tyres... The "see through" Michelin Tyres. Radical new tyre design by Michelin. Made in South Carolina, USA. The next generation of tyres. They had a pair at the Philadelphia car show. Those are 'spoke' like connections to the inner part of the tyre from the outside tread 'wrap!' The next picture shows how odd it looks in motion. Makes you wonder how the ride feels doesn't it? These tyres are airless and are scheduled to be out on the market very soon (? August 2012) The bad news for law enforcement is that spike strips will not work on these. Just think of the impact on existing technology: no more air valves! no more air compressors at gas stations! no more repair kits! no more flats! These are actual pictures taken at the South Carolina plant of Michelin. EIU Tanzania Country Report, December 2011 27/01/2012
Highlights Outlook for 2012-16
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mh. Mohammed Dewji amepokea msaada wa baiskeli 5 za walemavu kwa ajili ya jimbo lake zilizotolewa na Taasisi ya Lions Club Tanzania. Mh. Dewji amekabidhiwa msaada huo leo jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Club za wanachama wa Lions Club Tanzania na Uganda Satish Sharma, katika makabidhiano yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Gerezani. Mh. Dewji ameshukuru msaada huo akisema utakua faraja kwa wananchi wa jimbo lake ambao wanamatatizo ya ulemavu wa viungo. “Nawashukuru Lions Club kwa msaada huu na utakua chachu kwa wananchi wa jimbo la Singida hususani walemavu wakiwemo wale wa viungo walio na mahitaji maalum, kwa kuwa baiskeli hizi zitawasaidia sana hivyo nawashukuru” amesema Mh. Dewji. Kwa upande wake Satish Sharma amesema licha ya kukabidhi msaada huo wa baiskeli za walemavu, Lions Club wametoa misaada mbalimbali kwa nchi za Tanzania na Uganda, ikiwemo baiskeli hizo na vifaa mbalimbali vya shule. “Kwa sasa Lions Club tunaendelea kutoa misaada mbalimbali ya kijamii vikiwemo vifaa vya mashuleni na michango mingine ikiwemo baiskeli na baada ya hapa tutaazunguka mikoa ya Morogoro na kisha kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Msoma, Bunda na Shinyanga” amesema Satish. Lions Club mpaka sasa ina wanachama 1600 na Club 48 kwa nchi za Tanzania na Uganda, ambapo wamekua mstari wa mbele katika kusaidia misaada ya kijamii kwa nchi mbalimbali zilizo na wanachama Duniani kote. Ni jambo la kusikitisha kuwa katika jamii yetu tunao wazazi na walezi ambao ama wanafanana na kibonzo hiki au wanakaribia kufanana nao, kwa maana kwamba, huikwepa familia yao, watoto wao wenyewe, kwa kuona kadhia, kero, bughudha na usumbufu mwingi. Wengine hata ikiwa hawatamki bayana kusumbuliwa, matendo yao yanatosha kujisemea. Wakikutana katika vijiwe vyao vya starehe kama klabu za pombe, kahawa, bao na gumzo, hadithi za "usumbufu" wa watoto na familia zao ni mojawapo ya ajenda. Ajabu, ni usumbufu wa kuonja tu, hawaujui kwa kina kwa kuwa wanaukimbia na kuwaachia wenza au yaya. Suala la kujiuliza ni, je, familia bora itajengwaje ikiwa unaikwepa? Kwa bahati mbaya, jamii nayo imebadilika, kwani mtoto siku hizi siyo kama "enzi za Mwalimu" kuwa mtoto ni wa kijiji, sasa ni nyakati ya changu ni changu na chako ni chako, usimrudi mwanangu hata ikiwa amekosea. Wazazi mlio na tabia ya kuzikimbia familia zenu jioni na wakati wa wikiendi, kisha mkirudi mnakuwa wageni kwa wanenu au 'wakali kama mbwa mwitu' timizeni ahadi na maamuzi yenu ya kutaka kuwa na familia mlipoamua kuwa na wenza. Usiwe mzazi ambaye akiingia ndani watoto wanatafuta mlango wa kutokea. Usitarajie kwa miujiza kuwa na familia bora, kwani familia bora hujengwa kwa juhudi, maarifa na ushirikiano. Usiache kuwasikiliza watoto kwani nao wanajifunza na wanapenda kusikilizwa na wazazi wao. Nilipokuwa mtoto mdogo nilikuwa ninaamini zaidi maneno ya wazazi, hata kama waliongopa, kuliko nilivyowamini majirani au ndugu baki. Watoto wanaoishi maisha ya kubahatisha na kushindwa kuzilea vyema familia zao wawapo wakubwa mara nyingi hutokana na wasiopata malezi ya wazazi wao wangali wadogo "samaki mkunje angali mbichi". Vunja mnyororo wa familia mbovu kwenye kizazi na ukoo wako utakaofuata, kwa kufanya marekebisho kwenye familia yako. Usipende kutunukiwa sifa usiyoifanyia kazi kwa hamu na gamu. Malezi ya familia ni ya wazazi, siyo mzazi. Askari Polisi wawili waliokuwa katika msafara wa Makamu wa Rais, Dkt. Mohamed Gharib Bilal mkoani Tanga, wamekufa baada gari lao kupinduka na kutumbukia kwenye korongo. Msafara wa Dkt. Bilal aliyekuwa akihitimisha ziara ya wilaya nne kati ya nane za mkoa wa Tanga, alikuwa njiani kwenda Hale katika wilaya ya Korogwe akitokea Lushoto. Ajali hiyo imethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, Costantine Massawe aliyewataja waliokufa kuwa ni Koplo Jegi na askari mwingine, Henry, katika eneo la ajali, kona ya Nduru eneo la Mombo, Lushoto. Alisema gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba za usajili PT 2000 ambalo lilikuwa linaendeshwa na Denanta Abdallah, breki zake zilishindwa kufanya kazi na hivyo kutokana na mwendo kasi, gari lilipinduka na kutumbukia kwenye korongo. Kufikia saa 2 mbili usiku, lilikuwa bado halijatolewa korongoni. Mbali ya dereva, askari wengine waliojeruhiwa wametajwa kuwa ni Majesta Mlaka, Nyamsanga Bitulo na Justine Kangulu. Majeruhi wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Korogwe ya Magunga ambako pia miili ya marehemu imehifadhiwa. (via blogu ya Lukwangule) ---- Kufuatia taarifa za ajali hiyo, Dkt. Bilal ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi na wafiwa. Bloggers and activists from China, the Middle East and Latin America said Friday they were afraid that new Twitter policies could allow governments to censor messages, stifling free expression. Thursday's announcement that Twitter had refined its technology to censor messages on a country-by-country basis raised fears that the company's commitment to free speech may be weakening. Twitter is trying to broaden its audience and make more money by expanding around the globe. "I'm afraid it's a slippery slope of censorship," said social media commentator Jeff Jarvis, interviewed at a gathering of business and government leaders in Davos, Switzerland. "I understand why Twitter is doing this - they want to be able to enter more countries and deal with the local laws. But, as Google learned in China, when you become the agent of the censor, there are problems there," he added. Egyptian activist Mahmoud Salem, who tweets and blogs under the name "Sandmonkey," questioned in a tweet whether Twitter "is selling us out." Twitter sees the censorship tool as a way to ensure individual messages, or tweets, remain available to as many people as possible while it navigates a gauntlet of different laws around the world. Before, when Twitter erased a tweet it disappeared throughout the world. Now, a tweet containing content breaking a law in one country can be taken down there and still be seen elsewhere. Twitter will post a censorship notice whenever a tweet is removed. That's similar to what Internet search leader Google Inc. has been doing for years when a law in a country where its service operates requires a search result to be removed. Like Google, Twitter also plans to the share the removal requests it receives from governments, companies and individuals at the chillingeffects.org website. The similarity to Google's policy isn't coincidental. Twitter's general counsel is Alexander Macgillivray, who helped Google draw up its censorship policies while he was working at that company. "One of our core values as a company is to defend and respect each user's voice," Twitter wrote in a blog post. "We try to keep content up wherever and whenever we can, and we will be transparent with users when we can't. The tweets must continue to flow." Read more: news.yahoo.com | Vitabu vya WatanzaniaBofya picha ya kitabu unachokitaka ili ujinunulie nakala
Yaliyomo/CategoriesAll Hifadhi/ArchivesJanuary 2012 | ||||||











RSS Feed