Makanisa mawili yamechomwa moto usiku wa kuamkia leo huku bila mafanikio watu wasiofahamika wakijaribu kuteketeza kwa moto banda moja la kuoneshea picha za video.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Costantine Massawe alisema tukio la kwanza lililotokea majira ya saa 8 usiku katika Kanisa la Betham lililoko eneo la Donge ambapo wahusika waliteketeza kwa moto jengo la Kanisa dogo lililokuwa likitumika zamani na kisha kuingia ndani ya Kanisa kubwa la sasa na kuviwasha kwa moto vitambaa vilivyokuwa vimefunika madhabahu.

Massawe alisema:

 
 
PictureMax Melo, JF Founder
Mwanzilishi wa ukumbi maafuru Watanzania mtandaoni kwa mijadala mbalimbali, Bwana Maxence Melo, katika ukurasa wake wa Facebook ziliwekwa taarifa muda mchache uliopita kuwa amepatwa na ajali mbaya huko katika maeneo ya wilaya ya Nzega, mkoani Tabora.

Taarifa hiyo fupi pia imetaarifu kuwa gari walimokuwemo lilizunguka mara 6 na kuharibika vibaya (tizama picha iliyopchikwa hapo chini). Hali yake si mbaya sana ingawaje mdogo wake aliyevunjika mkono hali yake si nzuri. Wote wamefanyiwa utaratibu kwa ajlili ya kuwahishwa hospitalini Bugando, Mwanza.

Imemaliza taarifa hiyo kwa kuwashukuru wana CCM wa Nzega kwa msaada walioutoa na kuomba taarifa hii isambazwe ili iwafikie marafiki wote kwani simu zake zote zimeibwa kwenye eneo la ajali na hivyo hapatikaniki kwa yeyote atakayejaribu kumfikia kwa njia hiyo.


 
 
Ifuatayo ni nukuu kutoka kwenye blogu ya DJ Fetty baada ya kuzungumza na Mhe. Halima Mdee (Mbunge wa Kawe, Dar es Salaam) hapo jana, Ijumaa, Mei 17, 2013 kuhusu swali aliloulizwa la taarifa zilizozagaa ya kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja:
Aah... unajua huwezi kuzuia watu kusema, na mimi huwa sihangaiki na watu wanasema nini, lakini ukitaka kumjua Halima unaweza ukamchunguza kirahisi sana, kwa kumuangalia alipotoka, historia yake na mahusiano yake, ambayo mengine ni wazi sana watu walikuwa wanayajua, 

Watu wanapenda ku-speculate pale ambapo wanaona kitu ambacho hawati  kuona, sasa hilo swala 

 
 
The ChargeCard is a USB charging card with a size of a standard credit card, that's easy to carry as it is made of tough, flexible plastic which makes it easy to slip into a pocket or fits into a wallet.

With ChargeCard you'll have both a USB data cable and a charging cable devices on you at all times.

The USB connector clicks itself into place in the center of the card until you flip it out and connect it to a nearby USB port when needed.

The ChargeCard comes:

Designed and Manufactured in California, USA, each is ChargeCard is priced at $25 and ships FREE WORLDWIDE.

The iPhone 4 and microUSB are available now. The iPhone 5 version starts shipping in June (you can pre-order now). Find our more at, ChargeCardProject.com
 
 
Lifehacker has this post: 

Many men's suit jackets have three buttons down the front. Leave them all unbuttoned and you look informal. Button them all and you look like a schoolboy in his first suit or a school uniform. So which should you button and which stay open? This rule is easy to remember: "Sometimes, Always, Never," from top to bottom.
Honestly, this is a rule known for a long time, but talking about it with others (and the folks at The Art of Manliness) revealed that it's perhaps not as common knowledge as thought, and it really should be. They explain:

 
 
MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwanamrisho Taratibu Abama leo asubuhi aliugua ghafla katika viwanja vya Bunge na kukimbizwa hospitali. 

Tukio hilo lilitokea wakati akienda  kuhudhuria semina ya wabunge kuhusu Rasimu ya Sera ya Gesi Asilia kabla ya kukosa nguvu na kusaidiwa na wenzake kumkimbiza kwenye zahanati ya Bunge. 

Baada ya kupatiwa huduma ya kwanza bungeni, gari la wagonjwa lilimkimbiza Hospitali ya Mkoa wa Dodoma (General) ambako amelazwa. 

Kwa mujibu wa waliomshuhudia, alianza kuishiwa nguvu hali ambayo waliokuwa karibu walimsaidia kumpeleka kwenye zahanati ambako alitundikiwa dripu kabla ya kupelekwa hospitalini. 

Kaimu Mganga Mkuu wa  Hospitali ya Dodoma, Zainabu Chaula alikiri kumpokea mbunge huyo.

---
Taarifa via Lukwangule blog Ent.
 
 
Shukurani kwa picha,
Evans M, na Dk Kiva M.
Mei 17-18, 2013
Safarini Mwanza.
 
 
Picture
Baadhi ya waombolezaji waliokutwa nyumbani kwa marehemu Dk Masau huko Mbweni Kwajumbe, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa mwili wa Dk Masau unatarajiwa kuagwa kesho katika Hospitali ya Aghakan saa 5:00 asubuhi. Baada ya hapo mwili utarudishwa nyumbani kwake kabla ya kusafirishwa kesho kutwa kwenda kwa maziko kijijini kwao Murutunguru, Wilayani Ukerewe.
Dk Ferdinand Masau ameripotiwa kufariki ingawa sababu za kifo chake hazijawekwa wazi. 

Tunalojua ni kuwa mtu huyu amekuwa akiishi kwa pressure kubwa sana hasa pale anapokuwa anataka kutumia utaalamu wake kuinufaisha nchi wakati serikali ikiwa inampiga vita. 

Iwapo angeamua kuwa mwanasiasa, huenda angefia India, lakini kwa vile siyo mwanasiasa, utaalamu wake umemfanya afie popote alipokuwa. 

Implication kubwa ni kuwa utaalamu Tanzania haulipi kabisa labda uwe mfanyabishara wa utaalamu huo au utaalamu huo uunganishe na siasa. Ili ung'are Tanzaia, sahau kabisa vitu vinavyoitwa Cardiology, Engineering, Paediatrics, Agronomy, Obstetrics, Gynecology na majina makubwa ya kitaalamu kama hayo ila jikite kwenye siasa (ubunge), Bongofleva na Bongomovies. 

Njia ya aina hiyo inatisha sana kwenye future ya Tanzania.

---
Imeandikwa na Kichuguu via JamiiForums.com
 
 
Ndugu zangu,

Naitwa Maggid Mjengwa, mmiliki wa Mjengwablog na mtandao wa Kwanza Jamii. Baadhi yenu ni watembeleaji wa Mjengwablog, nawashukuru sana, na wengine ambao hamjawahi kuitembelea, basi, karibuni sana.

Nianze kwanza kwa kueleza jambo ambalo sijapata kulisema kabla. Mimi nina historia na chuo hiki.

Mwaka 2005 nilijiunga na Chuo hiki kwa minajili ya kujifunza kozi za Social na Cultural Anthropology. Nilifundishwa na marehemu Profesa Mshana.

Dhumuni la pili lilikuwa ni kujifunza juu ya mazingira wanakojifunza wasomi wa Kitanzania vijana kama nyinyi. Maana, mimi sikuwahi kusoma Chuo Kikuu hapa nchini. Nimegruduate nchini Sweden.

Nilimaliza kozi zile katika kipindi cha miezi minne na nilifaulu vema. Kisha nikaondoka. Sikuhitaji cheti.

Ndugu zangu,

Taaluma ya habari inahusiana kwa wanahabari kusema yalo ya ukweli kwa jamii. Na jambo hili lina changamoto zake katika jamii zetu hizi.

Maana, ukweli.... bofya hapa kusoma zaidi.
 
 
Picture
Mkazi wa jiji akitupa takataka kwenye eneo la barabara ya Morogoro, kama alivyokutwa Magomeni Kagera Dar es Salaam jana. Barabara hiyo inaendelea kujengwa na Kampuni ya STRABAG ya Ujerumani. (Picha na Charles Lucas/MAJIRA)