Add Comment Hali ya usalama katika Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani hapa imezidi kuwa mbaya baada ya askari polisi kudaiwa kufanya unyama kwa kuwabaka wanawake na kumpiga risasi mjamzito Mbali na unyama huo polisi pia wanadaiwa kuchoma moto nyumba tatu za wananchi katika mtaa wa Magomeni na vibanda vya maduka kadhaa na kupora vitu vilivyomo ndani. Hata hivyo Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mtwara, Linus Sinzumwa anasema hali ni shwari na kwamba wananchi watoke nje kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Ligula, Mohamedi Kodi amethibitisha kupokea mwili wa mjamzito ukiwa na tundu tumboni, zinazoaminika kuwa za risasi na hivyo kufanya idadi ya maiti zilizopokelewa hospitalini hapo kufikia mbili na majeruhi 18: “Ni kweli kwa leo tumepokea maiti moja ya mwanamke ambaye ni mjamzito wa Mahakama Wilaya ya Kinondoni, imetupilia mbali rufaa ya kupinga kuvunja ndoa ya Josephine Mushumbushi, iliyokuwa imefunguliwa na aliyekuwa mume wake, Aminiel Mahimbo. Akitoa uamuzi huo leo, Hakimu Aniseth Wambura alisema mahakama yake imefikia uamuzi huo kwa sababu haina Mapema leo, mwendo wa saa 5 adhuhuru, kulitokea ujambazi huko katika maeneo ya Sayansi Mataa-Kijitonyama jijini Dar es Salaam, ambapo waliokuwa hapo walieleza kuwa majambazi hayo yapatayo manne yakiwa katika pikpiki, yalisimama ghafla na kulizunguka gari aina aina ya Toyota Vitz lenye usajili wa namba T929 CCX huku yakiwa yameshika silaha aina ya bastola na "machine gun". Mmoja wao alifyatua risasi hewani kumtaka dereva asimame na ashushe vioo vya gari yake, na baada ya majibizano ya muda mfupi, majambazi hao waliifyatulia risasi kadhaa gari hiyo upande wa dereva na kumjeruhi dereva sehemu ya bega. Hapo ndipo walipofanikiwa kuondoka na begi kubwa linalosadikiwa kuwa lilikuwa na kiasi cha fedha shilingi milioni 40 (kwa mujibu wa dereva aliyempeleka majeruhi hospitali). Baada ya majambazi hayo kutoroka, wasamaria wema wakamchukua dereva huyo na kumtafutia taxi na kumwahisha katika hospitali ya Kairuki kwa huduma zaidi. Sheha wa Shehia ya Tomondo, Wilaya ya Magharibi, Mohammed Omary Said "Kidevu", mchezaji wa zamani wa timu ya KMKM , Yanga na timu ya Taifa ya Zanzibar akiwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja, Unguja baada ya kumwagiwa tindikali huko kwake, usiku wa kuamkilia leo na watu ambao bado hawajafahamika, ya kwake (picha, maelezo: ZanziNews blog). Sheha wa Shehia ya Tomondo Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mohd Omar Said umaarufu Kidevu jana jioni alivamiwa na watu wasiojulikana na kumwagiwa tindikali ambayo imemjeruhi vibaya sehemu ya kifua pamoja na jicho la kulia. Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Zanzibar Mkadam Khamis Mkadam alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema Sheha Omar ameumia vibaya sehemu ya kifua na jicho. Akifafanua zaidi alisema kwa sasa jeshi la polisi linafanya uchunguzi zaidi kuhusiana na tukio hilo ambapo mhusika Menejimenti ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unapenda kuutaarifu umma wa Watanzania kuwa tangazo la nafasi za ajira ambalo limewekwa katika mtandao www.eastafricajobscarieer.com ni batili. Mtandao huo ulichapisha tangazo hilo bila ridhaa ya Menejimenti ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya hauna mkataba wowote wa kibiashara na mtandao huo. Aidha, tangazo hilo ni nakala ya tangazo la ajira ambalo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ulilitangaza katika magazeti ya Mwananchi, Nipashe, na Daily News tarehe 07, 10 na 14 Februari, 2012 na mchakato wa kujaza nafasi zilizotangazwa ulishakamilika. Menejimenti ya Mfuko wa Taifa ya Bima ya Afya inawaomba radhi wote ambao wamepata usumbufu kutokana na tangazo hilo. Limetolewa na: Mkurugenzi Mkuu, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, S.L.P. 11360, DAR ES SALAAM.
Waziri wa mahusiano ya Ulaya na Biashara za kimataifa wa Finland, Alexander Stubb, akifanya mahojiano na Meneja Mahusiano wa Vodacom Tanzania, Bw.Matina Nkurlu katika hafla ya kuingia katika Ushirikiano utakao wawezesha wakulima kupata taarifa za kilimo kupitia simu za mkononi. Pamoja nao ni Waziri wa maendeleo ya kimataifa Heidi Hautala (wa pili kutoka kulia) na Mkurugenzi wa kampuni ya Sibenonke Uwe Schwarz.
Balozi wa Finland nchini Tanzania, Sinikka Antila akisalimiana na Afisa maendeleo ya Biashara wa Vodacom Tanzania Nixon Bonaventure wakati wa hafla ya kuanzisha Ushirikiano kati ya kampuni hiyo na kampuni ya Sibenonke ya nchini Finland. Pamoja nao katika picha ni Waziri wa Mahusiano ya Ulaya na Biashara za kimataifa Alexander Stubb (katikati). Waziri wa maendeleo ya kimataifa Heidi Hautala ( wa pili kutoka kushoto) na Mkurugenzi wa kampuni ya Sibenonke Uwe Schwarz. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa balozi huyo.
* Ni kufuatia ushirikiano kati ya Finland na Vodacom * Sera ya Kilimo kwanza kuongezewa tija zaidi Waziri wa Mahusiano ya Ulaya na Biashara za kimataifa wa Finland Alexander Stubb, amesema kuwa nchi yake sasa itawekeza zaidi katika kuwainua wakulima wadogo wa Tanzania kwa kuwawezesha kupata elimu, taarifa na mafunzo mbalimbali ya kilimo na ufugaji kupitia maendelea ya teknolojia. Hayo yametanabaishwa na Waziri huyo wakati wa hafla ya kuingia katika Ushirikiano kati ya Kampuni ya Sibenonke ya nchini Finland na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom makubaliano yatakayo wawezesha wakulima kupata taarifa mbalimbali za kilimo kwa njia ya simu. Waziri huyo amesema kuwa nchi yake imekuwa ikishirikiana na serikali ya Tanzania katika masuala mbalimbali na kwa Dr Massawe Dr Antipas Massawe (Mining Engineer)/massaweantipas@hotmail.com The Organization of African Unity (OAU) was formed in 1963 to enable acceleration of the European decolonization of countries on the Continent and promote peaceful resolution of conflicts, ensure their sovereignty forever, and raise living standards. OAU managed to liberate countries but failed to eliminate extreme levels of poverty majority are still dwelling in on the Continent because most its leaders were corrupt and their individual going in the former colonial masters lead exploitation of their abundance of natural resources like minerals contributed very minimal in the development of the foundation economic infrastructures required for the stimulation of Global investing in modern manufacturing on the Continent. As a result countries on the Continent tended to remain net suppliers of cheap raw materials to their former colonial masters and other non African markets and importers of manufactured goods which are costly. The African Union was then formed after the dissolution of OAU in 2002 to enable its leaders to work together in the promotion of health, education, peace, democracy, human rights, and economic success. But, to date the African Union has failed to deliver much of its intended goals because the individual going countries in the African Union are Na Thehabari.com, Rombo -- CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), Wilaya ya Rombo kimesema shule nyingi za Sekondari za Kata wilaya hiyo na maeneo mengine nchini zinajiendesha kwa kutegemea fedha za mifukoni kwa walimu wakuu wanaoziongoza shule hizo. Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu wa CWT Wilaya ya Rombo, Erasmo Mwingira alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi wa habari hizi. Hata hivyo uchunguzi uliofanywa na gazeti hili hivi karibuni kwa kutembelea shule kadhaa za sekondari wilayani hapa umebaini kuwepo na mazingira magumu ya uendeshaji wa shule hizo kutokana na mgao wa Ndugu zangu, Mwanafalsafa Jean- Paul Sartre anasema; “Hell is the other people” – Kwamba jehanam ni wale wengine, anataka pia tukubaliane, kuwa pepo yaweza kuwa ni wale wengine. Na hakika, tofauti ya mwanadamu na mnyama iko kwenye kufiri. Mnyama anaongozwa na hisia, lakini mwanadamu anapaswa aongozwe na kufikiri. Ndio maana ng’ombe anaweza kumpanda mama yake. Ni hisia tu zitakazoongoza tendo lake. Hivyo, mwanadamu kwenye mambo ya msingi hapaswi kabisa kuongozwa na hisia ikiwamo ushabiki. Anapaswa kfikiri. Vinginevyo, ni ukweli, kuwa kijamii, mwanadamu anaweza kuwa kiumbe anayeishi kwenye mahusiano ya kirafiki na |





RSS Feed
